asante kwa taarifa mkuu, ndo anaelezea maana ya bunge la katiba, anasema ni kosa bunge la katiba mpya kuwa na wabunge waliochaguliwa kwa katiba ya sasa, maana wanatakiwa kuilinda sio kuiua, very interesting
Nani Shivji au Mnyika?Sina akisesi na tv coz niko kwenye gari nasafiri
Wote wawili (Shivji na Mnyika) wapo. Hivi sasa Mnyika anafafanua, mchakato unawabana wananchi kwani atakaye-amua kukusanya maoni ya wananchi atapigwa ndani miaka 7 au faini; adhabu ambayo ni kubwa zaidi ya m-hujumu uchumi anatolea mfano wa adhabu iliyotolewa na mahakama kuhusu hasara ya majengo pacha ya BoT
Wanabodi...
Kipima joto ITV wageni waalikwa ni Prof Issa Shivji, kutoka kigoda cha mwalimu pamoja na John Mnyika, kutoka Chadema pamoja na Isack Cheyo, kutoka UDP
Asante kwa taarifaa,tunasubiri updates mkuu
tune Itv mkuu
Wanabodi...
Kipima joto ITV wageni waalikwa ni Prof Issa Shivji, kutoka kigoda cha mwalimu pamoja na John Mnyika, kutoka Chadema pamoja na Isack Cheyo, kutoka UDP
Kipima joto cha ITV kinabagua mbona sioni muwakilishi wa CCM?Wanabodi...
Kipima joto ITV wageni waalikwa ni Prof Issa Shivji, kutoka kigoda cha mwalimu pamoja na John Mnyika, kutoka Chadema pamoja na Isack Cheyo, kutoka UDP