Kipima joto ITV, Renatus Mkinga na TANESCO

labda wewe ndio uboa ! Ngeleja bana , kumbe unaangalia kipindi hiki. Chukua hatua.


Hongera kwa kuagulia lakini kama unafuatilia yeye anamtetea Ngeleja. Hebu niambie amejibu nini kuhusu huyo mama alikatiwa umeme kwa deni la 25,000?
 
Jamani huyu Mkinga ni wa chama gani ndani ya nchi? Naombe jibu chap chap kwn nina hoja ya kuchangia ila nasubiria majibu ya WanaJF.
 
Bajeti ya Tanesco ya Bil 400, ipo kimya kwenye nini kitafanyika kuhusu umeme. Chenge asaidia dowans ilipwe wakati ameingia mikataba feki ya rada, dowans etc ameingia yeye Chenge, anajivunia nini!
 
Hongera kwa kuagulia lakini kama unafuatilia yeye anamtetea Ngeleja. Hebu niambie amejibu nini kuhusu huyo mama alikatiwa umeme kwa deni la 25,000?

amemshauri akalipe ! Lakini Dr akasema yeye ana Luku yenye balance ya Tsh 25,000 yet anakatiwa umeme kwakosa gani ?
Akasema ! Kukosea ni kawaida yetu akarejea mfano ule wa Maarufu wa Oparesheni ya Muhimbili.
 
amemshauri akalipe ! Lakini Dr akasema yeye ana Luku yenye balance ya Tsh 25,000 yet anakatiwa umeme kwakosa gani ?
Akasema ! Kukosea ni kawaida yetu akarejea mfano ule wa Maarufu wa Oparesheni ya Muhimbili.

Unataka tuamini kuwa TANESCO ni wasafi hivyo?
 
Mwenyekiti fukuza Rostam, Lowasa, Chenge ndani ya chama wote wakose ubunge, tehe tehe!
 
Mkinga anasema, Bwana Chenge anasaidia Dowans ilipwe, wakati yeye ndio kasababisha ufisadi wa Deep Green, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais
 
bajeti ya umeme tilio 12 haina mchanganuo ufisadi kayachambuwa magazeti ya kinafiki kamuchambuwa chenge anavo endeleya kuisaidia dowansi ilipwe anajiamini nini? Kaeleza mikatabi mengi yakifisadi kasababisha chenge kashauli jk awafukuze chenge r .a rowasa wamelisababishia taifa hasala
 
kweli kwa bunge lenye wapuuzi wa ccm,nguvu za mikono kuwaondoa ni muhimu!kura haina msaada ktk hali hii
 
Hebu sikia ushauri wa DR! Hiyo ndiyo theme ya kipindi hichi na sio kukitumia kama jukwaa la kujionyesha kuwa una uelewa wa kila kitu!
 
Serikali inatakiwa kuwekeza kwa ajili ya miaka 30 ijayo.
Tenganisha kati ya mzalishaji na msambazaji ili kuboresha huduma.
 
Mtikila kwani ni Padri?

Usinilaumu nduyu yangu kwani sijui kwenye dinbi yenu kuna tofauti kati ya Padri na mchungaji. Hata hivyo nimekusudia huyo Mtikila .
Angalia sasa anajipa uhuru wa kuwa maoni yake ndio suluhisho pekee na wala wananchi hawana haja ya kufikiri nini cha kufanya. Indeed he is so perfect than any other person, is that what you want us to believe?
 
Nimempenda Masakoo anavyoendesha kipindi , anawapa uhuru wa kujieleza wachangiaji bila kuwakatiza katiza, safi sana
 
Back
Top Bottom