Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Yaani jamaa kachambua vizuri na kawavuruga wazee wa tucta ambapo mwisho wa siku wamejikuta hawana cha kuongea.
Hawa watu wenye akili kubwa ndio wanapaswa kupewa teuzi za kiongozi.
Mh .rais mtazame mchambuzi huyu kwa jicho la tatu kama anafaa kuwa mmoja wa wasaidizi wako
Hawa watu wenye akili kubwa ndio wanapaswa kupewa teuzi za kiongozi.
Mh .rais mtazame mchambuzi huyu kwa jicho la tatu kama anafaa kuwa mmoja wa wasaidizi wako