Kawaida ya muongo na mwenye kuongeza chumvi katika mambo. hiyo 1% inayobaki imekwenda wapi?
Hiyo moja ni sijui huwa haungalii vipima joto vya ITV au kazi yako kuangalia TV yenu TBC 1Kawaida ya muongo na mwenye kuongeza chumvi katika mambo. hiyo 1% inayobaki imekwenda wapi?
Hayo maoni hayawezi kuondoa msingi wenyewe. Binafsi naamini kama CDM walikaidi amri ya Polisi ni dhahiri walijiandaa kukabiliana nao, hivyo ilikuwa ni lazima wajihami. Kinachinisikitisha ni risasi hizi kuwakuta watu wengine badala ya SLAA wenyewe au MBOWE. Kwa nini watangulishe vijana kama chambo? Nimesikia SLAA anasema wanasubiri ripoti ya Daktari ili wachukue hatua za kisheria. Ni hatua gani hizo zitakazolingana na uhai wa mtu uliopotea? Nilitumai, hatua hizo wangezichukua kuzuia kifo hicho badala kuchukua hatua baada ya mtu kufa, huku ni kutaka kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.