Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Mada mgao wa umeme mpaka lini? msemaji wa tanesiko aingia mitini mkinga ndani ya nyumba
Shukurani mkuu naona renatus anachambua mada,anasema IPTL saizi wanazalisha MW 5 hadi 10 tu coz gesi hakuna.Mada mgao wa umeme mpaka lini? msemaji wa tanesiko aingia mitini mkinga ndani ya nyumba
kasema takriban 50 na si 20..Viwanda takriban 20 vimeshafungwa kwa sababu ya mgao wa umeme.
viwanda 50 mh.Viwanda takriban 20 vimeshafungwa kwa sababu ya mgao wa umeme.
Thanks mkuu ntakuwa nimemsikia vibaya.kasema takriban 50 na si 20..
Thanx mkuu.viwanda 50 mh.