mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,651
- 18,021
Chonde chonde wana msimbazi wenzangu, tujiangalie na kujitathmini kwa uwazi, tusiruhusu kugombana, turekebishe na tusonge mbele!! Adui zetu tusiwape faida!! Ila tusifumbie macho udhaifu wa wazi uliopo kwenye timu yote.
Tujue tumejikwaa na kukosea wapi! Turekebishane kwa upendo na maisha yaendelee!! Anayecheka acheke sana, lakini mwisho wa siku atakayecheka mwisho atacheka sana na atakayenuna mwisho atanunà sana!
Msimu ndo unaanza, uto jiandaeni kununa sana!
Tujue tumejikwaa na kukosea wapi! Turekebishane kwa upendo na maisha yaendelee!! Anayecheka acheke sana, lakini mwisho wa siku atakayecheka mwisho atacheka sana na atakayenuna mwisho atanunà sana!
Msimu ndo unaanza, uto jiandaeni kununa sana!