Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,943
Mbingu mtaisikia kwenye maspika ya kanisaniTukinyimwa nyumbani njia mbadala ndio hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbingu mtaisikia kwenye maspika ya kanisaniTukinyimwa nyumbani njia mbadala ndio hiyo
Hawezi kukunyima bila sababu.KE ndo wanasababisha kama kwa hiki kisa cha mleta mada
Mbake ni halali yako kisheria.Wanajamvi habari za mda huu , kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimulazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Hawezi kukunyima bila sababu.
Suluhisho ni kumpandisha Cheo tu! Awe Mke mkubwa! Unamleta mke mdogo amsaidie kazi iliyomshinda!Wanajamvi habari za mda huu , kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimulazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Huu ushauri wa kiume ndio wa kuzingatia.Mpandishe cheo awe mke mkubwa.
Mkuu ingia kwenye Badoo utakula kuanzia wamama, wadada na watu wazima 40+Wanajamvi habari za mda huu , kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimulazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Mke mmoja amekuwa Mama Mzazi?Wanajamvi habari za mda huu , kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimulazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Sababu zenu huwa zinaelewekaga sasa.Hawezi kukunyima bila sababu.
Zinaeleweka ndiyo..sasa kama mume kichomi maudhi kila uchwao..mnategemea sisi tunaotoa utamu tunajisikiaje labdaSababu zenu huwa zinaelewekaga sasa.
😀😀Mke mmoja amekuwa Mama Mzazi?
Sasa wewe ndiyo umesemaKabisa kutakuwa na sababu tu:-
1.Labda alimuuzi(Sumu ya maoenzi ni mauzi)
2.Anaumwa (Anajisikia vibaya ,hana mzuka etc)
3.Yupo kwenye mshahara wa mwisho wa mwezi
Kama hakuna sababu kama hizo lazima arudi kwao akapumzike.
Utoto umewazidi, hela ya kula shida ndiyo ipatikane ya vacationHili ni kwa upande wenu wafilipino
Kwa waswahili kama sisi unatushaurije?
Unajiongeza Mkuu😀😀
Sasa Kama dini hairuhusu unafanyaje?
Wakubwa tumeelewaMpandishe cheo awe mke mkubwa.
Aisee..wanaume nyinyi🙌Unajiongeza Mkuu