Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,459
- 2,140
Kwenye social medea ya Badoo Dating mkuuWapi hapo nope connection
Kwenye social medea ya Badoo Dating mkuuWapi hapo nope connection
Awali ya yote, umekosea kuoa.Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, tena ukimuomba ni vita sio vita ya kitoto na ukimlazimisha sana utaona anapiga kelele kama vile anabakwa.
Wanawake wengi kabla ya ndoa,wanakataa kufundwa wakidhania kama wao n wakubwa pia .mwishowe ndio wanaongoza kuvunja ndoa zao.wanawake mpunguze ubinafsi kidogo Zesh.
Kuna mdogo wako alibembelezwa for three days bado kanuna tu,alipojaribu kushikwa kajitoa kwa nguvu kamjeruhi jamaa mkono vizuri tu na chupa iliopasuka.Jamaa akaamua kukaa kimya na kutouliza chochote hata chakula(maana siku ya pili toka ugomvi alipofika home alikuta hakujapikwa kaenda kununua msosi wake na mkewe)now akirudi anakua kala mtaani na kambebea na yeye,anadai anasalimia tu na kuingia kulala.ananunua nguo tu anaweka kwenye buti anavaa lodge dada kaja home kushtaki,jamaa anasema yeye hana shida na mkewe na wako poa tu.Hii ndoa sidhani kama ipo tena maana jamaa anasema hana hisia tena na dada kama mke so dada aamue.
SasaitakuajeUkiona mke ananuna hatoi mzigo ujue ameshajua una mahusiano nje. Hiko kitu kinatoa stimu aiseee hata kama ulikua tayari ukikumbuka kwamba kuna mtu mwingine anakula hela za hubby K inakauka kauu.
Kwani mtoto sio jukumu lake?Suluhisho ni kumpandisha Cheo tu! Awe Mke mkubwa! Unamleta mke mdogo amsaidie kazi iliyomshinda!
Na hii tabia inakomaa sana pindi akiwa na mtoto yaani anajisahau kabisa majukum yake anajiweka busy na mtoto!
Hii comment nasikia imeokoa mtu kule.Dah pole kuna kipindi wife alishaanza hizo baada ya siku moja alijichanganya akanijibu shiti alichezea kofi za maana akaona isiwe tabu ngoja aanze mgomo baridi.
Mimi nikasema poa tu, sibembelezi mtu, back days kuna binti nilikuwa nampenda sana, naye wife anamjua, wife alishakuta mawasiano na sms kwa simu yangu, pia siku moja tukiwa kwenye harusi fulani, huyo binti tulikuwa naye kwenye kamati moja ya vinywaji so kuna wakati tulikuwa tunaongea, kwakuwa huyu binti alikuwa amevaa viatu virefu alikuwa anakosa balace ya kusimama kwasababu ya kusimama muda mrefu unajua tena wadada akawaanishika bega kila wakati , duh kumbe wife alimuona kilichotokea hapo kifupi tuliacha sherehe tukaondoka, ila tulikuja kuyaongea tukayamaliza.
Nije kwenye point baada ya kuona mgomo inaendelea nikawa kila siku narudi nipo maji haswa na nakuwa na huyo binti wakati mwingine just for a drinks na story.
Siku moja nikatengeneza mchezo mara kadhaa huwa naota mpaka naongea siku hiyo nikaanza kumtaja huyo binti kwa sauti namwambia Deby i love so much, ur so qute baby hivyo yaani, huku namkumbatia wife kwa hisia....nilisikia wife anaguna mhhhh fluni unasemaje?nikakaa kimya kama sijamsikia vile.
Kesho yake mchana aliniandikia sms anaomba tuonane lunch kwa nusu saa anamaongezini nikamwambia sawa tukakutana aliniambia kwa unyonge sana, jua mimi ni mkeo nipe thamani yangu, naona umeamua kuanza tena mahusiano na Deby ndiyo maana unachelewa kurudi.
Nikamwambi nope umejuaje, wewe ni mke wangu siwezi kufanya hivyo pamoja na umeweka mgomo baridi siku mbili lakini siwezi katu kukusaliti, siku nikikusaliti ujue hutaniona week nzima.
kifupi alijutia kosa lake tukayamaliza yakaisha maisha yakaendelea.
Wapi mzee baba?Hii comment nasikia imeokoa mtu kule.
Kama mna tofauti Jitahidi kuzitatua kwanza, kisha mfanye akuone kama vile ndo unamtongoza tongoza, maneno matam , ukitoka mletee vizawadi, ukifika home mkute mkiss, yote ili arudishe hisia zake kwako.... Ukikaa nae cheza nae kama mtoto, mshike taratibu hapa na pale.... Sio jiwe huyo ana hisia zitakuja atakuhitaji tu......... Sasa huo mwendo uwe kila mara ukitoka mtext msifie mwambie jinsi gani unafurahia mnavopeana mambo, mwambie unatamani kila siku awe anakupa...... Hehehehe bwana we kwa ufupi ni hivyo na vingine vingi nshachoka kuandika.
hivi Babu mwitore yupo shoga angu au mchepuko ulisha mpa pressure mpaka akafa.@MwitoreKatafute mchepuko yakukute ya babu mwitore.
Huwezi nyimwa unyumba bila sababu. Kaongee na mkeo vyema.
Either mgonjwa, depressed ama kuna mambo unamfanyia si sawa. Kaomgee nae poa. Michepuko itakugharimu
yewomiiii.... dah, ni nn kufukua makaburi. Jama. Mwitore alijua kupagawa na penzi la mchepa. Hv micheps wana nnhivi Babu mwitore yupo shoga angu au mchepuko ulisha mpa pressure mpaka akafa.@Mwitore
Hlf kingine, unajua nyie wanawake mshajua kuwa sisi wanaume tunapenda sana ngono, kwahiyo sometimes mnavotunyima uchi, mnafanya hivyo ili kutukomoa makusudi muone tunafanyaje, au kutu-manipulate ili tuwafaidishe kitu flani , na sio kwamba tunakua tumewawaudhi au kushindwa kuwaandaa au hamko tayari, kwani cwajui ninyi Zesh Yna2 KarmaAndaa mazingira ya kufanya akuhitaji wewe kimwili kabla hujamuhitaji wewe.... Wanaume mnafeli sana mkioa mnataka mfanye lile jambo kama kuku....
Yani wanawake akili zenu bhana!!
..... Kwanza mwanamme mwenye majukumu anatoa wapi huo mda , hiyo k anayo yeye peke yake
Baki na utamu wako mkuuZinaeleweka ndiyo..sasa kama mume kichomi maudhi kila uchwao..mnategemea sisi tunaotoa utamu tunajisikiaje labda
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, tena ukimuomba ni vita sio vita ya kitoto na ukimlazimisha sana utaona anapiga kelele kama vile anabakwa.