MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
Habarini wanaJf
Poleni kwa wote mliokumbwa na matatizo na mikasa mbalimbali mfano;kutumbuliwa na kufukuzwa km machinga!
Pia niwapongeze wale wote walio/wanaozidi kufanikisha ndoto zao ktk maisha,"Ni jambo la kumshukuru Muumba"!
Kutokana na mada husika napenda kujua,kuna usahihi gani kusherehekea Birthday ingawaje hatujui siku hiyo ilikuwaje na wala hatujui kilitokea nini, Je tunakumbuka nini?
Na je,kipi tunachokifurahia siku hiyo either kuja duniani au kuendelea kuishi na kupunguza siku zetu?
Je, nani au jamii gani iliyoanzisha suala hilo na kuturithisha?
Tujuzane wadau!
Poleni kwa wote mliokumbwa na matatizo na mikasa mbalimbali mfano;kutumbuliwa na kufukuzwa km machinga!
Pia niwapongeze wale wote walio/wanaozidi kufanikisha ndoto zao ktk maisha,"Ni jambo la kumshukuru Muumba"!
Kutokana na mada husika napenda kujua,kuna usahihi gani kusherehekea Birthday ingawaje hatujui siku hiyo ilikuwaje na wala hatujui kilitokea nini, Je tunakumbuka nini?
Na je,kipi tunachokifurahia siku hiyo either kuja duniani au kuendelea kuishi na kupunguza siku zetu?
Je, nani au jamii gani iliyoanzisha suala hilo na kuturithisha?
Tujuzane wadau!