Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Nilimsikia Lady Hanifa wa Radio One akisisitiza kuwa mume na mke wameoana. Na wengi siku hizi hasa wanawake wanatumia neno ili kuoana badala ya kuoa au kuolewa. Je, ni sahihi kweli kuoana? na kwa nini watu wanatumia neno ili? Nini maana yake kabisa - kuoana?