Namge JF-Expert Member Oct 9, 2016 1,375 1,822 Dec 21, 2016 #1 Wakuu hebu fungukeni tujue ni kipi adimu...
innocentmollel JF-Expert Member Sep 11, 2014 1,702 744 Dec 21, 2016 #4 Mke mvumilivu na mwenye upendo wa kweli...
Namge JF-Expert Member Oct 9, 2016 1,375 1,822 Dec 21, 2016 Thread starter #5 Nokia83 said: Inategemea una miaka mingapi Click to expand... Hebu nyumbulisha Mkuu..
Raimundo JF-Expert Member May 23, 2009 13,416 12,600 Dec 21, 2016 #6 Namge said: Wakuu hebu fungukeni tujue ni kipi adimu... Click to expand... Wewe unatafuta nini kati ya hivyo?
Namge said: Wakuu hebu fungukeni tujue ni kipi adimu... Click to expand... Wewe unatafuta nini kati ya hivyo?
dustless JF-Expert Member Oct 21, 2016 796 709 Dec 21, 2016 #7 Bikra wapo, kazi zipo, na mapenzi siku zote ni ya kweli. Tatizo huwa ni uaminifu ndio zero.
kindandi Member Sep 4, 2012 41 10 Dec 21, 2016 #10 Hakuna kisicho patikana chini ya hili jua, tatizo ni ukweli utii upendo na uaminifu katika kila jambo ndiyo vinakosekana
Hakuna kisicho patikana chini ya hili jua, tatizo ni ukweli utii upendo na uaminifu katika kila jambo ndiyo vinakosekana
sunday jr JF-Expert Member Oct 24, 2016 365 332 Dec 21, 2016 #12 swali lililo ulizwa halina jibu katika hayo yaliopo mleta uzi umefaulu kuleta swali zuri lakini umefeli katika majibu ya swali.
swali lililo ulizwa halina jibu katika hayo yaliopo mleta uzi umefaulu kuleta swali zuri lakini umefeli katika majibu ya swali.
_aysher JF-Expert Member Aug 2, 2016 1,131 942 Dec 21, 2016 #13 C mapenzi ya kweli ndio ngumu kuyapata
Namge JF-Expert Member Oct 9, 2016 1,375 1,822 Dec 22, 2016 Thread starter #15 Raimundo said: Wewe unatafuta nini kati ya hivyo? Click to expand...
Namge JF-Expert Member Oct 9, 2016 1,375 1,822 Dec 22, 2016 Thread starter #16 zinginary said: Hivi kukaza dem bikra rahaa?? Click to expand... Sio raha tu.. Ni ushujaa pia.. tafta Mkuu
zinginary said: Hivi kukaza dem bikra rahaa?? Click to expand... Sio raha tu.. Ni ushujaa pia.. tafta Mkuu
Namge JF-Expert Member Oct 9, 2016 1,375 1,822 Dec 22, 2016 Thread starter #17 sunday jr said: swali lililo ulizwa halina jibu katika hayo yaliopo mleta uzi umefaulu kuleta swali zuri lakini umefeli katika majibu ya swali. Click to expand... Nahis we ni mwalimu... Ebu litengeneze mkuu
sunday jr said: swali lililo ulizwa halina jibu katika hayo yaliopo mleta uzi umefaulu kuleta swali zuri lakini umefeli katika majibu ya swali. Click to expand... Nahis we ni mwalimu... Ebu litengeneze mkuu
Patience123 JF-Expert Member Mar 10, 2013 5,088 8,769 Dec 22, 2016 #18 "Trust" ni ngumu sana kwenye huu ulimwengu uliojaa udanganyifu na ulaghai.
Snipes JF-Expert Member Jul 2, 2013 8,920 16,199 Dec 22, 2016 #19 _aysher said: C mapenzi ya kweli ndio ngumu kuyapata Click to expand... njoo PM