Kwangu mim definition ya kuoa sio kupata mtoto kwa maana kama mtoto anaweza kupatikana bila ndoa au unaweza ukampata nje ya ndoaNaanza na wewe kwenye mahojiano ..
1. Umeoa / umeolewa hujapata mtoto inakuwaje ..
2. ... jibu hilo kwanza ..
Hapo uko sawa kabisa .. sio kila mwenye mtoto ameolewa / ameoa na sio kila aliyeoa / kuolewa ana mtoto ...Kwangu mim definition ya kuoa sio kupata mtoto kwa maana kama mtoto anaweza kupatikana bila ndoa au unaweza ukampata nje ya ndoa
Mtoto muhimuHapo uko sawa kabisa .. sio kila mwenye mtoto ameolewa / ameoa na sio kila aliyeoa / kuolewa ana mtoto ...
Kipi muhimu zaidi kwako?