Duuh kwa iyo PCMs wakasomee wapi?None of the above
Hilo swali limetoka kwa dogo aliechaguliwa katika hivyo vyuo kwa kozi ya electrical.Waliosoma kwenye hivyo vyuoBora uende VETA
DIT ajue kukaza na hesabu iwe kichwani. Lakini ukitoka pale utakua vizuri sana.Shukran..naskia dit ni tough sana
NotedDIT ajue kukaza na hesabu iwe kichwani. Lakini ukitoka pale utakua vizuri sana.
Hivi kati ya vyuo tajwa hapo juu kipi kinanoa vizuri wanafunzi kinadharia na vitendo katika kozi za engineering?,hasa Electrical engineering.
Shukran...naskia huko ni easy sana
Mwana DITEti easy,kakwambia nani?
Shukran..naskia dit ni tough sana