Kipi ni bora zaidi kati ya Pesa na Elimu?

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,014
1,498
Habari wakuu!? Leo nimekumbuka swali la miaka mingi na ambalo halijapatiwa jibu lenye kukubalika kwa wote, Mara zote linapoulizwa kumekua na majibu yasiyolandana hivyo kuendelea kua swali tata lisilo na jibu, nashawishika kulileta kwenu wana Jf nikiamini ni jamii pana yenye wasomi,wataalam na wajuvi wa masuala mengi zaidi. binafsi naamini pesa ni bora zaidi ya elimu, kwa maana elimu inatumika kama nyenzo muhimu ya kutafutia pesa kwa urahisi,kuzipata, kuziendeleza,kuzidhibiti ili zisikupotee kiurahisi, pia kwa mtazamo wangu ni kwamba, kwa MTU mwenye afya njema hii ni pamoja na ufahamu wa kuzaliwa, kuishi bila elimu inawezekana ila kuishi bila pesa ni majanga.
 
Pesa na Elimu vinategemeana.
NB: Elimu inayomaanishwa hapo huwa si ile ya darasani ukimaliza kisha uajiriwe. Elimu inayomaanishwa ni ile ya kumuamsha mtu toka usingizini aelewe dunia inavoenda.
Dunia inaendeshwa kwa pesa MKUU, au siyo?
 
Habari wakuu!? Leo nimekumbuka swali la miaka mingi na ambalo halijapatiwa jibu lenye kukubalika kwa wote, Mara zote linapoulizwa kumekua na majibu yasiyolandana hivyo kuendelea kua swali tata lisilo na jibu, nashawishika kulileta kwenu wana Jf nikiamini ni jamii pana yenye wasomi,wataalam na wajuvi wa masuala mengi zaidi. binafsi naamini pesa ni bora zaidi ya elimu, kwa maana elimu inatumika kama nyenzo muhimu ya kutafutia pesa kwa urahisi,kuzipata, kuziendeleza,kuzidhibiti ili zisikupotee kiurahisi, pia kwa mtazamo wangu ni kwamba, kwa MTU mwenye afya njema hii ni pamoja na ufahamu wa kuzaliwa, kuishi bila elimu inawezekana ila kuishi bila pesa ni majanga.


Yai na kuku kipi bora??
 
Kama ushawahi kuona bahati nasibu ya elimu mtu anapigiwa sm anambiwa kashinda bahati nasibu ya degree aende akachukue degree au masters ya udaktari au uhasibu

basi tambua elimu siyo kitu cha kufananisha na pesa bila elimu hata hizo pesa usingezijua

ila ukiwa umeona gafla mtu anapigiwa sm kashinda million mia na anapewa hapo ndio ujue elimu ni bora kuliko pesa kwanini elimu haipatikani kijinga jinga kama pesa, pesa ni tendo la dakika moja tu mh meko akipiga sm hazina upewe million mia moja sasa hivi unapewa na unabadilisha maisha yako ila uyo uyo meko apige sm necta or udsm upewe cheti cha kidato cha sita au degree utapewa lakini haitakuwa na maana kwako sababu ujui yaliyomo kitakutesa itakuwa sawa na mkristo kupewa msaafu ausome

Kwaiyo pesa na elimu elimu ni bora maana ina mda wake ukipishana na huo mda basi ila pesa ni uhai tu mzee baba

Hao wafanya biashara wanaojisifu wana pesa ingawa hawajasoma wananyooshwa sana mjini uku yani wanapigwa vya kutosha tena wakijichanganya kupanda ndege kwenda nje ya inchi ndio balaa sema siri zao huduma unayoipata wewe kwa elfu kumi yeye anaweza ipata kwa laki na hayupo comfortable kabisa hajiamini

Peleka watoto shule waje wawasumbue hawa kwenye hela
 
Hata kama ukiwa na pesa ila huna elimu,ni lazima utahitaji/utaajiri wenye elimu wakusaidie kazi zako,utahitaji nyenzo kama Computers,Magari,Printers,Papers...Hivi vyote vimebuniwa na kutengenezwa na wenye elimu,So hapo bila elimu huwezi fanya lolote,hizo Ndege utakazo panda kwenda China na kwingineko ni matokeo ya ELIMU.
 
ELIMU ELIMU ELIMU. Ukishakuwa nayo pesa zitakuja tuu hata Africa tulipewa Mali tuzimiliki lakin kwa ukosefu wa ELIMU tumebadilishana dhahabu kwa condom!! Inasikitisha sana
Pesa Huwezi pata bila elimu na elimu inayozungumziwa Ni ya uwezo wa kuingiza pesa SI vinginevyo.Bakheresa aliishia darasa la pili Lakini Huwezi sema Hana elimu anayo kubwa kuliko maprofesa yeye ana elimu kubwa ya biashara ya kumuingizia pesa.Elimu unayoongelea SI ile tu ya makaratasi nadhani
 
Habari wakuu!? Leo nimekumbuka swali la miaka mingi na ambalo halijapatiwa jibu lenye kukubalika kwa wote, Mara zote linapoulizwa kumekua na majibu yasiyolandana hivyo kuendelea kua swali tata lisilo na jibu, nashawishika kulileta kwenu wana Jf nikiamini ni jamii pana yenye wasomi,wataalam na wajuvi wa masuala mengi zaidi. binafsi naamini pesa ni bora zaidi ya elimu, kwa maana elimu inatumika kama nyenzo muhimu ya kutafutia pesa kwa urahisi,kuzipata, kuziendeleza,kuzidhibiti ili zisikupotee kiurahisi, pia kwa mtazamo wangu ni kwamba, kwa MTU mwenye afya njema hii ni pamoja na ufahamu wa kuzaliwa, kuishi bila elimu inawezekana ila kuishi bila pesa ni majanga.
Elimu inakuongezea ufahamu nakukufanya uwe kiumbe bora bora zaidi... Pesa inakusaidia mahitaji yako ya kila siku ikiwemo elimu
 
Habari wakuu!? Leo nimekumbuka swali la miaka mingi na ambalo halijapatiwa jibu lenye kukubalika kwa wote, Mara zote linapoulizwa kumekua na majibu yasiyolandana hivyo kuendelea kua swali tata lisilo na jibu, nashawishika kulileta kwenu wana Jf nikiamini ni jamii pana yenye wasomi,wataalam na wajuvi wa masuala mengi zaidi. binafsi naamini pesa ni bora zaidi ya elimu, kwa maana elimu inatumika kama nyenzo muhimu ya kutafutia pesa kwa urahisi,kuzipata, kuziendeleza,kuzidhibiti ili zisikupotee kiurahisi, pia kwa mtazamo wangu ni kwamba, kwa MTU mwenye afya njema hii ni pamoja na ufahamu wa kuzaliwa, kuishi bila elimu inawezekana ila kuishi bila pesa ni majanga.
Vyote hutegemeana
 
Back
Top Bottom