Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,284
- 2,401
Salaam wadau
Kumekuwa na mijadala mingi ya kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika shughuli zao. Kiuchumi, kifamilia, kielimu na nk. Moja ya sababu zilizo tajwa ni namna yao kufikiri mambo. Kwamba mafanikio au kuanguka huko hutegea namna yao kufikiri.
Nahitaji tusaidiane kama mada inavyo jieleza kipi ni Bora?
Nawasilisha.
Kumekuwa na mijadala mingi ya kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika shughuli zao. Kiuchumi, kifamilia, kielimu na nk. Moja ya sababu zilizo tajwa ni namna yao kufikiri mambo. Kwamba mafanikio au kuanguka huko hutegea namna yao kufikiri.
Nahitaji tusaidiane kama mada inavyo jieleza kipi ni Bora?
Nawasilisha.