dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,205
- 54,780
mimi ananikera kitu kimoja tu, ananuka mdomo
ngoja aje mtu aseme ananipenda kimapenzi πππafu tutarogaNi wakati sasa wa kuanza kuroga..π
Nipo hapaNtampata wapi wa hivo
Dadeki almanusra nijichanganye..πngoja aje mtu aseme ananipenda kimapenzi πππafu tutaroga
si ndo wewe umenishauri ko nikipata mtu nakuja unielekeze namna ya kuroga huon nimekujumuisha apo nikasema tuta means mimi na wewe ππππDadeki almanusra nijichanganye..π
Ndo umenikosa Bora ungesema hufanyagi hizo mambo.. sasa umejua unakosea wapi..π
A we mi si mrogaji na sitaki kurogwa nilikuwa napima tu nione ukoje kwenye hayo mambo lkn nimegundua we ni mbele kwa mbele.. hulazi damusi ndo wewe umenishauri ko nikipata mtu nakuja unielekeze namna ya kuroga huon nimekujumuisha apo nikasema tuta means mimi na wewe ππππ
Bwana weeeeππππem niache niko kansani nipe tu hela ntakuroga kwa damu ya YesuA we mi si mrogaji na sitaki kurogwa nilikuwa napima tu nione ukoje kwenye hayo mambo lkn nimegundua we ni mbele kwa mbele.. hulazi damu
Ingekuwa tofauti na hapo ningekuchukua mimi mwenyewe nikupe hizo hela za bila kuombwa..ππ
ππππBwana weeeeππππem niache niko kansani nipe tu hela ntakuroga kwa damu ya Yesu
enhee ππππππ
Mkuu mbona umefuta ghafla unahofu na Nini..πKwanini
Nilitaka tu kukuhimiza huyo malaika usimuachie..Ulitka kukomenti nini kwani.?
kwa kupata malaika mzuri anaekupendaKwanini
Tuheshimiane pls
We unaonekana unapenda hzo pesa anazokupa..!Mtu anapoanzisha mahusiano ya kimahaba na mtu wake ni wazi huwa kuna vitu vina mvutia lakini anapozidi kuwa naye karibu zaidi basi anapata wasaha wakuvifahamu vingi zaidi toka kwa soul mate wake.
Karibuni tu-share vitu ambavyo vinakuvutia toka kwa mtu wako wa karibu tangu mmeanzisha mahusiano. Angalizo usi-share vitu vya private sana lakini some how.
Binafsi mtu wangu wa karibu ni mcheshi sana, yaani nikiwa naye huwa na-enjoy ucheshi wake. Dada flani mbabe mbabe, ana jali saana kani-save sana, vi-amount vidogo dogo