getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Niko hapa Ndola Zambia, ninapata kifungua kinywa kwenye moja ya mgahawa wa mwanamke wa kisomali eneo hili ni kama kituo cha wasomali, kuna wasomali wengi sana hapa chakula kinachopikwa ni cha kisomali lugha inayotumika ni kisomali.
Wanaonekana kuwa na umoja na Upendo baina yao, kuna vicheko na bashasha.
Swali langu je, kama upendo huu ndio walio nao kipi kinawafanya wakimbie Nchi yao?
Ninaowaona hapa ni wasomali wa rangi tofauti japo utawatambua kwa sura zao na muonekano wao, Je ni kipi kinachowakimbiza Somalia..?
Mwenye ufahamu wa kutosha naomba msaada.
Nimependa kuja kula hapa sabbu wanaweza pia kuwasiliana kwa kiswahili na baadhi yao wanapenda sana Tanzania.
Nawasilisha
Wanaonekana kuwa na umoja na Upendo baina yao, kuna vicheko na bashasha.
Swali langu je, kama upendo huu ndio walio nao kipi kinawafanya wakimbie Nchi yao?
Ninaowaona hapa ni wasomali wa rangi tofauti japo utawatambua kwa sura zao na muonekano wao, Je ni kipi kinachowakimbiza Somalia..?
Mwenye ufahamu wa kutosha naomba msaada.
Nimependa kuja kula hapa sabbu wanaweza pia kuwasiliana kwa kiswahili na baadhi yao wanapenda sana Tanzania.
Nawasilisha