Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia eneo la soko kuu la jiji la Mwanza lizungushiwe uzio kupisha ujenzi wa soko kuu la kisasa.
Tuliambiwa fedha za ujenzi huo zipo na kwamba ujenzi utachukua miezi 6 tu na kwamba tuwavumilie kulifunga soko hilo pamoja na barabara ya Rwegasore na stand kubwa ya taxes na daladala.
Hadi sasa hakuna dalili ya cho chote kinachofanyika humo. Nini kimetokea?
Tuliambiwa fedha za ujenzi huo zipo na kwamba ujenzi utachukua miezi 6 tu na kwamba tuwavumilie kulifunga soko hilo pamoja na barabara ya Rwegasore na stand kubwa ya taxes na daladala.
Hadi sasa hakuna dalili ya cho chote kinachofanyika humo. Nini kimetokea?