Kipi kinaendelea kwa nafasi za kazi zilozotangazwa na TRA kupitia utumishi

mamlaka za serikali hazina huo ujinga wa sijui interns..passwords kitu gani kwani?

Pole angalia nature ya organization kwanza hv tra wakishindwa waajir wale interns what do you think nn kitatokea?? Si watafundisha watu njia za ku evade tax, tax consultants kibao zitawaajiri hawawez waacha kizembe coz wanajua impact sisi wenyew campun yetu tunataka tax officer kutoka Tra tumwajiri unafikir kwa nn ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ofcourse iwapo ni kweli nachelea kusema si rahisi kwa taasisi nyeti kama hiyo kutrain watu wapate access ya system then badae eti umuache it is very very risk asee.

Ndo nilikua namwambia dada hapo juu, wale wanasubir contracts tu waanze kula maisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pole angalia nature ya organization kwanza hv tra wakishindwa waajir wale interns what do you think nn kitatokea?? Si watafundisha watu njia za ku evade tax, tax consultants kibao zitawaajiri hawawez waacha kizembe coz wanajua impact sisi wenyew campun yetu tunataka tax officer kutoka Tra tumwajiri unafikir kwa nn ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
we nadhani bado dogo sana..hao interns unaowasema sio wa kwanza wala wa mwisho,na hakuna chochote wanachoweza kufanya kuhujumu mamlaka.wengi wamepita Hapo na wameondoka na hawajaleta madhara yoyote..kazi zitatangazwa watu watashindanishwa na watakaofaulu mchujo wataajiriwa bila kuangalia alikuwa sijui intern au kitu gani..nawafahamu wengi wamepita hapo tra kama interns na leo wako mtaani wanafanya mambo mengine tu.na mind you,mamlaka huwa ina chuo chake cha kutrain staff wake kabla hawajapangiwa majukumu mbalimbali,kwa hiyo hata hao interns unaowasema bado hawajaiva, wako hapo kujifunza vitu vidogo vidogo tu.kuwa na access ya system sio kweli, ili uacess system lazima utumie identity yako na interns hawana identity number. kukwepa kodi hata mtu ambae hajaenda shule anaweza kukufundisha sio mpaka awe tra staff ni suala la kucheza na loop holes tu.
 
we nadhani bado dogo sana..hao interns unaowasema sio wa kwanza wala wa mwisho,na hakuna chochote wanachoweza kufanya kuhujumu mamlaka.wengi wamepita Hapo na wameondoka na hawajaleta madhara yoyote..kazi zitatangazwa watu watashindanishwa na watakaofaulu mchujo wataajiriwa bila kuangalia alikuwa sijui intern au kitu gani..nawafahamu wengi wamepita hapo tra kama interns na leo wako mtaani wanafanya mambo mengine tu.na mind you,mamlaka huwa ina chuo chake cha kutrain staff wake kabla hawajapangiwa majukumu mbalimbali,kwa hiyo hata hao interns unaowasema bado hawajaiva, wako hapo kujifunza vitu vidogo vidogo tu.kuwa na access ya system sio kweli, ili uacess system lazima utumie identity yako na interns hawana identity number. kukwepa kodi hata mtu ambae hajaenda shule anaweza kukufundisha sio mpaka awe tra staff ni suala la kucheza na loop holes tu.

Na ndugu yangu ni HR head quarter Tra hawajawai kuwa na interns hii ndo program imeanza last year na hao madg wamechukuliwA na Commisner, Lengo ni kuwa train kwa 1 year then kuwapa contracts sasa wewe kma unadhan kila kitu ni utumish subir uone, Commisner akiwa recommend tu imepita imooo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na ndugu yangu ni HR head quarter Tra hawajawai kuwa na interns hii ndo program imeanza last year na hao madg wamechukuliwA na Commisner, Lengo ni kuwa train kwa 1 year then kuwapa contracts sasa wewe kma unadhan kila kitu ni utumish subir uone, Commisner akiwa recommend tu imepita imooo


Sent from my iPhone using JamiiForums
we una ndugu hr while me niko nao ofisini.
 
we una ndugu hr while me niko nao ofisini.

Sawa vzr unaweza kuwa ndani na usijue nini kinaendelea mle ndani, na kama upo ndani how unasema kuna interns wankuja wanasepa wkt hao mlonao ndo program imeanza kwao, huyu maza ni mtu mkubwa sana hapo hq hawez nidanganya kitu labda unawaonea wivu madogo, acha hzo
 
Sawa vzr unaweza kuwa ndani na usijue nini kinaendelea mle ndani, na kama upo ndani how unasema kuna interns wankuja wanasepa wkt hao mlonao ndo program imeanza kwao, huyu maza ni mtu mkubwa sana hapo hq hawez nidanganya kitu labda unawaonea wivu madogo, acha hzo

Mkuu achana na huyo jamaa, watanzania wengi ni watu wenye wivu sana. Kila mtu na mlango wake wa mafanikio, sasa kama hao madogo nao si wamekula training tofauti na hao interns wengine waliopita hapo, wana id maybe, wamekua screened pengine na taasisi husika. Mkuu mpotezee huyo mwamba
 
Mkuu achana na huyo jamaa, watanzania wengi ni watu wenye wivu sana. Kila mtu na mlango wake wa mafanikio, sasa kama hao madogo nao si wamekula training tofauti na hao interns wengine waliopita hapo, wana id maybe, wamekua screened pengine na taasisi husika. Mkuu mpotezee huyo mwamba

Watz hatupendani jmn,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sawa vzr unaweza kuwa ndani na usijue nini kinaendelea mle ndani, na kama upo ndani how unasema kuna interns wankuja wanasepa wkt hao mlonao ndo program imeanza kwao, huyu maza ni mtu mkubwa sana hapo hq hawez nidanganya kitu labda unawaonea wivu madogo, acha hzo
Mkuu ukweli upo hivi ni kweli kabisa tra hawakuwa na utaratibu wa kuwa na intern hapo awali, ila kwa sasa kuna program ambayo ina simamiwa na ofisi ya waziri mkuu nadhan ktk kuwajengea uwezo graduates so sio tra tu hao interns wametawanywa ktk ofisi nyingi za umma. Ukweli ni kwamba hakuna uhakika ajira serikalini nje ya utaratibu wa kupitia utumishi na hao interns wamepewa mda wa mwaka mmoja wa kujifunza. So kama tra inaajiri hawana favor yoyote nao watahitajika waapply na waingie ktk mchuano kama candidates wengine tu, kuhusu kupewa access za system za tra hilo halipo mkuu hakuna intern ata mmoja mwenye hizo access kupata system access kuna utaratibu wake is not easy mkuu kuingia ktk ile mifumo kwanza lazima uwe ID na kuna form za kuomba rights ujaze zithibitishwe ktk level mbalimbali za mamlaka, interns wapo kwa ajili ya kujifunza tu ni kama wanavyokujaga wanafunzi wa field.
 
Mkuu ukweli upo hivi ni kweli kabisa tra hawakuwa na utaratibu wa kuwa na intern hapo awali, ila kwa sasa kuna program ambayo ina simamiwa na ofisi ya waziri mkuu nadhan ktk kuwajengea uwezo graduates so sio tra tu hao interns wametawanywa ktk ofisi nyingi za umma. Ukweli ni kwamba hakuna uhakika ajira serikalini nje ya utaratibu wa kupitia utumishi na hao interns wamepewa mda wa mwaka mmoja wa kujifunza. So kama tra inaajiri hawana favor yoyote nao watahitajika waapply na waingie ktk mchuano kama candidates wengine tu, kuhusu kupewa access za system za tra hilo halipo mkuu hakuna intern ata mmoja mwenye hizo access kupata system access kuna utaratibu wake is not easy mkuu kuingia ktk ile mifumo kwanza lazima uwe ID na kuna form za kuomba rights ujaze zithibitishwe ktk level mbalimbali za mamlaka, interns wapo kwa ajili ya kujifunza tu ni kama wanavyokujaga wanafunzi wa field.

Then wakijifunza whats next?? Wajifunze tu, ushasema wapo chin ya wazir mkuu mpaka hapo hujapata kitu tu. Hujui whats goin on kma unataka kufaham njoo pm hapa public sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe acha
Then wakijifunza whats next?? Wajifunze tu, ushasema wapo chin ya wazir mkuu mpaka hapo hujapata kitu tu. Hujui whats goin on kma unataka kufaham njoo pm hapa public sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂 Sawa mkuu wewe upo ndani ya system nadhani utakuwa unajua mengi kunishinda mimi niliye nje ya system😂😂
 
Kuna walioomba kujitolea kupitia Taesa" wanajitolea hapo tra, Taesa na utumishi ni kama kitu kimoja kwa hiyo nadhani hao interns ndio wamepewa kazi.

Nasihi sana vijana muombe kujitolea kupitia taesa
 
Back
Top Bottom