Kipi kimemfanya Geofrey Mwambe aliyekuwa Mkurugenzi (Director) wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kuteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Viwanda?

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,208
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua Baraza la Mawaziri na miongoni wa Mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
 
Mkuu wangempa nani kwa CCM huyo ndo mwenye afadhali wengine waliobaki uwezo mdogo.

Fikiri et Simbachawene, Mwigulu, Muhagama Jenista hahahaha watu wa CCM wana uwezo mdg sana. angalia vyuma (wasaliti) pia wamepenya mbele ya wana ccm wa miaka nenda rudi kwa kuwa kdg wako timamu
 
Nanukuu"
Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Swali linakuja unauhakika mamlaka iliyomteua haijapendezwa na hicho nilichonukuu hapo?
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!
 
Sidhani kama Jiwe anaangalia ufanisi wa mtu. Anaangalia kama unaweza kua remote controlled au hapana.
Qualification nyingine kubwa kwa Jiwe, wewe unayeteuliwa katika hizo nafasi nyeti, utamuhakikishiaje kuwa utatumia nafasi yako kuwatesa sana wapinzani wa nchi hii, hadi wale na kusaga meno?

Hii nchi ndipo tulipofikia hivi sasa kwa Mkuu wa nchi kututangazia kuwa "Maendeleo hayana chama" lakini kivitendo inakuwa kinyume kabisa
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
Mkuu umeongea point tupu, japo simjui sana jamaa lakini nahisi ni mtu wa kitengo maana licha ya madudu kaula, amekuwa TIC kutokea kwenye uDC na pia ni memba wa bodies za BOT Na ttcl mobile.
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!

Very good point
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!
Watu wenye exposure Jiwe hawataki make anaona watamzidi umaarufu
 
CV YA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA KENYA


Hon. Betty C. Maina, CBS
Cabinet Secretary
Ministry of Industrialization, Trade and Enterprise Development

The Cabinet Secretary, Hon. Betty C. Maina, CBS brings a wealth of experience and professional capability built over two decades of engagement with top-notch public and private sector organizations.

She has more than 27 years’ experience in organizational leadership and development, with an ability to prepare and implement strategic business plans and mobilize resources for implementation, traits that place her at a strategic position to effectively lead the coordination of Industrialization, Trade and Enterprise Development in Kenya.

Hon. Maina has served as the Principal Secretary in the Ministry of Environment and Forestry, State Department for industrialization, and State Department of East African Affairs. She has also served as the Chief Executive of the Kenya Association of Manufacturers for 11 years (between June 2004–July 2015), where she not only oversaw the doubling of membership of the association, but also established seven satellite offices to compliment the services offered at the national office
Ms. Maina was behind the successful implementation of the association’s strategic plan, resource mobilization and fundraising and oversaw its revenue increase from Kshs 24 million to Kshs 400 million annually within her ten year stewardship.

Hon. Maina also has keen interest and experience in Trade Policy, Regional Integration, Private Sector Development, Industrial Development, Public Private Dialogue, Business and Society, Sustainable Development, Integrated development, Education, Corporate Sustainability, Government Relations and Advocacy.
She attained a Master of Science Degree in Development Administration and Planning from the University College of London in 1998, having studied Land Economics at the University of Nairobi where she attained her undergraduate degree in 1988.

She has also undertaken short courses in several key areas, among them Budgeting and Financial Management (Harvard University), Developing Anti-Corruption Strategies (World Bank, Washington), Gender and Development Planning (University College of London), and the Role of Public Policy in Private Sector Development (Strathmore University College), to name just a few.

Regional integration, industrial development, private sector development, good governance and sustainable development are at the heart of Ms. Maina’s strategic approach to business, and her new role of coordinating EAC affairs in Kenya may not present a big challenge, going by her experience and trainings.
Her achievements has earned her the Kenyan presidential honor in 2013, giving her the title: Moran of the Order of the Burning Spear (MBS).

Ms Maina’s active professional journey started in 1997 when she became Chief Executive of the Institute of Economic Affairs in Kenya (IEA), an independent policy think-tank and advocacy, promoting public awareness on policy issues and advocating for the institution of socially responsive economic reforms, a position she held until 2003.

Between 1996 and 1997, she was a consultant, Local Government Reform Program in Kenya, and formed part of a team investigating and suggesting alternative resource base enhancement for local authorities in Kenya, and which carried out revenue potential studies for Kisumu, Nakuru, Naivasha and Kakamega municipalities.

She was also team leader in programme initiation for the Migori Integrated Urban Development Programme between 1994 and 1996, and led a team that used participatory approaches to initiate an integrated urban development programme in the town. During the same period, Ms Maina was also Gender Advisor, Arid and Semi-Arid Programmes in (then) Keiyo and Marakwet districts (now Elgeyo Marakwet County).

She was Research Assistant, United Nations Center for Human Settlements (UN/Habitat) between 1991 and 1993, having served as Assistant Project Officer, Shelter Afrique (1990-91) where she initiated the company newsletter, ShelterNews.

Prior to joining the State Department, Ms Maina was the Director of her consultancy firm: BECEM Solutions and East Africa Regional Representative of Genetics: Analytics, an economic consulting group with offices in Nairobi, New Delhi and Johannesburg.
 
Kwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Mkuu kazi ya fuvu siyo kufugia nywele na kutunza ubongo. Kazi zake ni pamoja na kuwa rational na objective linapokuja suala la kutumia ubongo wako uliohifadhiwa kwenye fuvu.

Kuendelea kutoutumia ipasavyo ubongo wako kutapelekea kupata ulemavu wa akili siku za mbeleni. Baadae majibu kama haya kwako yatakuwa ya kawaida sana na utakuwa ukiwajibu wanao na wanaokuzunguka bila wewe mwenyewe kujua kuwa umeshapata ulemavu wa akili
 
CV YA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA KENYA


Hon. Betty C. Maina, CBS
Cabinet Secretary
Ministry of Industrialization, Trade and Enterprise Development

The Cabinet Secretary, Hon. Betty C. Maina, CBS brings a wealth of experience and professional capability built over two decades of engagement with top-notch public and private sector organizations.

She has more than 27 years’ experience in organizational leadership and development, with an ability to prepare and implement strategic business plans and mobilize resources for implementation, traits that place her at a strategic position to effectively lead the coordination of Industrialization, Trade and Enterprise Development in Kenya.

Hon. Maina has served as the Principal Secretary in the Ministry of Environment and Forestry, State Department for industrialization, and State Department of East African Affairs. She has also served as the Chief Executive of the Kenya Association of Manufacturers for 11 years (between June 2004–July 2015), where she not only oversaw the doubling of membership of the association, but also established seven satellite offices to compliment the services offered at the national office
Ms. Maina was behind the successful implementation of the association’s strategic plan, resource mobilization and fundraising and oversaw its revenue increase from Kshs 24 million to Kshs 400 million annually within her ten year stewardship.

Hon. Maina also has keen interest and experience in Trade Policy, Regional Integration, Private Sector Development, Industrial Development, Public Private Dialogue, Business and Society, Sustainable Development, Integrated development, Education, Corporate Sustainability, Government Relations and Advocacy.
She attained a Master of Science Degree in Development Administration and Planning from the University College of London in 1998, having studied Land Economics at the University of Nairobi where she attained her undergraduate degree in 1988.

She has also undertaken short courses in several key areas, among them Budgeting and Financial Management (Harvard University), Developing Anti-Corruption Strategies (World Bank, Washington), Gender and Development Planning (University College of London), and the Role of Public Policy in Private Sector Development (Strathmore University College), to name just a few.

Regional integration, industrial development, private sector development, good governance and sustainable development are at the heart of Ms. Maina’s strategic approach to business, and her new role of coordinating EAC affairs in Kenya may not present a big challenge, going by her experience and trainings.
Her achievements has earned her the Kenyan presidential honor in 2013, giving her the title: Moran of the Order of the Burning Spear (MBS).

Ms Maina’s active professional journey started in 1997 when she became Chief Executive of the Institute of Economic Affairs in Kenya (IEA), an independent policy think-tank and advocacy, promoting public awareness on policy issues and advocating for the institution of socially responsive economic reforms, a position she held until 2003.

Between 1996 and 1997, she was a consultant, Local Government Reform Program in Kenya, and formed part of a team investigating and suggesting alternative resource base enhancement for local authorities in Kenya, and which carried out revenue potential studies for Kisumu, Nakuru, Naivasha and Kakamega municipalities.

She was also team leader in programme initiation for the Migori Integrated Urban Development Programme between 1994 and 1996, and led a team that used participatory approaches to initiate an integrated urban development programme in the town. During the same period, Ms Maina was also Gender Advisor, Arid and Semi-Arid Programmes in (then) Keiyo and Marakwet districts (now Elgeyo Marakwet County).

She was Research Assistant, United Nations Center for Human Settlements (UN/Habitat) between 1991 and 1993, having served as Assistant Project Officer, Shelter Afrique (1990-91) where she initiated the company newsletter, ShelterNews.

Prior to joining the State Department, Ms Maina was the Director of her consultancy firm: BECEM Solutions and East Africa Regional Representative of Genetics: Analytics, an economic consulting group with offices in Nairobi, New Delhi and Johannesburg.
Mbona ukiiangalia Chadema kuna watu Wana elimu kubwa na CV kubwa lakini hawapewi nafasi za Uongozi? Mfano kwenye nafasi za Uenyekiti wa Chama na mbaraza yake ukiiangalia utaona wakina Mbowe na wachaga wenzake wamejazana fuatilia elimu zao hovyo kabisa
 
THE LOST bila shaka hujamuona aliyekuwa waziri wa Uwekezaji kwenye list Mpya. Ndo maana Huyo Bwana kapanda cheo. Jifunze wa nyuma pia Kama kina Medard, Dotto n.k
 
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Acha wivu wewe
 
Nanukuu"
Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Swali linakuja unauhakika mamlaka iliyomteua haijapendezwa na hicho nilichonukuu hapo?
Duh nimekuelewa be sana mkuu"
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom