Traveller_mona
Member
- Jan 11, 2019
- 94
- 161
Heshima kwenu wakuu!
awali ya yote ni kwamba duniani kuna vitu ambavyo vinaonekana na vile ambavyo havionekani(holybooks). Katika upande wa vitu ambavyo vinaonekana kuna vitu vingi nadhani kuna wanyama, mimea bacteria na n.k
Lakini ambavyo labda vinachukua nafasi kubwa kiumbo kuna mimea na wanyama (binadamu tupo hapa kwa sababu ni mammals).
wakuu kwa kifupi nadhani nimeeleweka kidogo, sasa Kati ya wanyama na mimea ni kipi kimejaza dunia kwa kiasi kikubwa?
Wakuu niwatakie jioni njema!
awali ya yote ni kwamba duniani kuna vitu ambavyo vinaonekana na vile ambavyo havionekani(holybooks). Katika upande wa vitu ambavyo vinaonekana kuna vitu vingi nadhani kuna wanyama, mimea bacteria na n.k
Lakini ambavyo labda vinachukua nafasi kubwa kiumbo kuna mimea na wanyama (binadamu tupo hapa kwa sababu ni mammals).
wakuu kwa kifupi nadhani nimeeleweka kidogo, sasa Kati ya wanyama na mimea ni kipi kimejaza dunia kwa kiasi kikubwa?
Wakuu niwatakie jioni njema!