Kwan ye kawa rais linWhy now? Mbona Simba Na twiga tulikuwa nao hata zamani?
Wana jf hebu tudadavue nini kinaweza kuwa ndiyo sababu ya Fifa mwaka huu kuja Tanzania kufanyia mkutano wake.
Je, ni uongozi mzuri wa serikali ya awamu ya tano?
Je, ni kutokana na uzuri wa uongozi mpya wa TFF?
Au wamevutiwa na kitu gani hasa?