Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Mimi sio mwalimu lakini ni miongoni mwa watu walionunua hisa za benki ya walimu wakati inaanzishwa nina hisa zangu 2000. Mwanzoni wakati inaanza hisa zilipanda kutoka shilingi mitano mpaka miasita hamsini nakumbuka ulikuwa wakati wa jk, lkn baadae zikashuka na kuludi shilingi miatano.Toka hapo hazijawai kupanda tena mbaya zaidi ata ukitembelea tovuti ya benki yenyewe annual report awaweki ata zile quoterly report akuna.
Napata wasiwasi na maendeleo ya hii benki ukizingatia hapo mwanzoni wakati inaanzishwa tulitegemea itafanya vizuri sokoni ukizingatia wadau wahyo benki ndo wengi kuliko kada nyingine serkalini.
Kama mnanisikia viongozi na watendaji wa benki ya walimu please tuwekeeni taarifa za kifedha za kila robo ya mwaka ili kama tunapata hasara tujuwe nakama kunafaida tudai gawio letu.
Napata wasiwasi na maendeleo ya hii benki ukizingatia hapo mwanzoni wakati inaanzishwa tulitegemea itafanya vizuri sokoni ukizingatia wadau wahyo benki ndo wengi kuliko kada nyingine serkalini.
Kama mnanisikia viongozi na watendaji wa benki ya walimu please tuwekeeni taarifa za kifedha za kila robo ya mwaka ili kama tunapata hasara tujuwe nakama kunafaida tudai gawio letu.