Kipi kiliwah kukuchekesha sana

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
49,445
67,962
Mimi leo kuna kitu nimecheka kuanzia mchana mpaka muda huu nikifikiria nacheka sana ,nyie acheni yaan sijaamin nilichoona na wala sijawah kufikiria aisee ,watu wa humu mnachekesha sana aisee tubakieni na Id fake tu ,siku ikitokea tukaonana na live humu tutakimbiana aisee,watu tunaweka avatar nzuri kweli ,kiuhalisia sasa mtu haeleweki ,na mnavyoandika na kujifanya kujua vitu na kujiona sasa,kukaa nyuma ya keyboard kudumu milele Amina,,na wanaotaka eti tujisajili kwa majina halisi na picha zetu mtukome aisee hatutakii kabisa maana majigambo yatakwisha na jf itapoa bora hivi hivi tu ama nene
 
Umeonana na mtu wa humu nini? abt fake pic why mbona me naweka ma real pics and am okay, why nah jf whats wrong with jf.
 
Mimi leo kuna kitu nimecheka kuanzia mchana mpaka muda huu nikifikiria nacheka sana ,nyie acheni yaan sijaamin nilichoona na wala sijawah kufikiria aisee ,watu wa humu mnachekesha sana aisee tubakieni na Id fake tu ,siku ikitokea tukaonana na live humu tutakimbiana aisee,watu tunaweka avatar nzuri kweli ,kiuhalisia sasa mtu haeleweki ,na mnavyoandika na kujifanya kujua vitu na kujiona sasa,kukaa nyuma ya keyboard kudumu milele Amina,,na wanaotaka eti tujisajili kwa majina halisi na picha zetu mtukome aisee hatutakii kabisa maana majigambo yatakwisha na jf itapoa bora hivi hivi tu ama nene
JF HII HII TU
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom