King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 736
- 2,672
Ushauri, maoni yote yanakaribishwa kwa yeyote mwenye mawazo chanya katika kuondoa au kumaliza tatizo la chumvi majumbani kwetu.
1. Mimi ni mkazi wa Dodoma(Ilazo) na kwa bahati mbaya sana nyumba nyingi wanahangaika na hii kitu na ina tabia ya kula sana maeneo ambako kwa kawaida kuna matumizi makubwa ya maji mfano chooni,bafuni.
2.Kwa bahati mbaya chumvi imetafuna nyumba yangu ambayo ilikuwa imeshapigwa skimming tayari kiasi kwamba naogopa hata kupiga rangi nahisi nitakuja kutia huruma baada ya muda mfupi.
3. Picha zifuatazo hapo chini ni picha halisi za matokeo ya chumvi.
#Karibuni kwa maoni na ushauri.
1. Mimi ni mkazi wa Dodoma(Ilazo) na kwa bahati mbaya sana nyumba nyingi wanahangaika na hii kitu na ina tabia ya kula sana maeneo ambako kwa kawaida kuna matumizi makubwa ya maji mfano chooni,bafuni.
2.Kwa bahati mbaya chumvi imetafuna nyumba yangu ambayo ilikuwa imeshapigwa skimming tayari kiasi kwamba naogopa hata kupiga rangi nahisi nitakuja kutia huruma baada ya muda mfupi.
3. Picha zifuatazo hapo chini ni picha halisi za matokeo ya chumvi.
#Karibuni kwa maoni na ushauri.