Destruction
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 284
- 508
Nilimwambia anywe p2 baada ya game akakataa nikaondoka zangu nikaa ghetto nikawazaa aisee siwezi mpa mimba demu mbovu kama yule nikamtumia 7000 atoe apate 5000 anunue p2 hakununua cha ajabu kwenye status naona kaeka picha yake mama kijacho mtarajiwa nikasema leo naumbuka kitaa na ukicheki nilikuwa najifanya napondea mademu wabaya kichiz leo wahuni wakijua demu mweusi hana chura nimempa mimba itakuaje
Nikasema mi Ni mtoto wa Manzese bwana hapo ilikuwa imeshapita siku moja yamebaki masaa 36 namaanisha kama siku moja na nusu hivi approximately maaana baada ya masaa 72 imekula kwangu
Nikaenda dukani nikanunua p2 ni vidonge vidogo sana vinakaa viwili tu .nikavipondaponda vikawa kama unga nikavimix kwenye juice Ile ya tropical ya box nikanunua na nyengine nikampigia uko wapi nataka tukutane tuongee kweli akakubali mwito
Alivyokuja nikampa ile niliponda vidonge mi nikaendelea kunywa ile nyengine uzuri juice za tropical zina mifuniko fulani ukifungua before Kama hayupo makini hawezi jua
So akainywa nikatabasamu nikajisemea moyoni kwisha kazi wewe
Na ukweli baada ya hapo sikumtafuta tena miezi imepita anashangaa hajapata ujauzito na nilimgonga siku za hatari licha ya kuniambia kwa ufisi wangu
Siku moja ananiambia ana hamu nikasema hakamatwi mtu hapa nikampotezea