Kipi huwezi sahau kwenye mahusiano yako?

Nilimwambia anywe p2 baada ya game akakataa nikaondoka zangu nikaa ghetto nikawazaa aisee siwezi mpa mimba demu mbovu kama yule nikamtumia 7000 atoe apate 5000 anunue p2 hakununua cha ajabu kwenye status naona kaeka picha yake mama kijacho mtarajiwa nikasema leo naumbuka kitaa na ukicheki nilikuwa najifanya napondea mademu wabaya kichiz leo wahuni wakijua demu mweusi hana chura nimempa mimba itakuaje


Nikasema mi Ni mtoto wa Manzese bwana hapo ilikuwa imeshapita siku moja yamebaki masaa 36 namaanisha kama siku moja na nusu hivi approximately maaana baada ya masaa 72 imekula kwangu


Nikaenda dukani nikanunua p2 ni vidonge vidogo sana vinakaa viwili tu .nikavipondaponda vikawa kama unga nikavimix kwenye juice Ile ya tropical ya box nikanunua na nyengine nikampigia uko wapi nataka tukutane tuongee kweli akakubali mwito

Alivyokuja nikampa ile niliponda vidonge mi nikaendelea kunywa ile nyengine uzuri juice za tropical zina mifuniko fulani ukifungua before Kama hayupo makini hawezi jua

So akainywa nikatabasamu nikajisemea moyoni kwisha kazi wewe


Na ukweli baada ya hapo sikumtafuta tena miezi imepita anashangaa hajapata ujauzito na nilimgonga siku za hatari licha ya kuniambia kwa ufisi wangu

Siku moja ananiambia ana hamu nikasema hakamatwi mtu hapa nikampotezea
 
Nakumbuka Niko o level Kuna ka Dem nilikaomba papuchi kimasiala afu kakakubali...Sasa tukapanga mida ya jion ndo tukutane vichakani nikajilie tunda ...Aisee sijui ilikuaje sku hyo mtoto aliniletea tunda Ajabu Ni kwamba mkuyenge ulishindwa kuingia ndani ya shimo na nikipima oil naskia ipo Kama yote
Duuuuuuuuuh

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom