Salt Bae
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 140
- 196
Kuna mtu leo kasema ana PHD kutoka chuo flani ufaransa mara nimepata demu wakiholanzi ntafikaje fikaje huko kwani ufaransa ulifikaje. Mwingine anasema sijui Morogoro nna mademu 10 Dodoma 4 Dar 16 ghafla anakuja na nyuzi nyingine bora nihamie kwa madada poa
Julius Husseni Zero IQ
Julius Husseni Zero IQ