adna yuzo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 1,038
- 2,000
Heloo, vipi wakuu
Naomba kujuzwa zaidi au kutaka ufafanuzi zaidi juu ya chuo kizuri cha ualimu wa sanaa hapa Tanzania.
.
kwa upande wangu nimeandika Dodoma na Mkwawa hivo nataka hapa kimoja kiwe first priority, sasa kipi kiwe cha kwanza??
Kwa upande wa pili nimechagua Logistics and Transportation bachelor NIT, naomba kujuzwa ni nzuri? Pia naweza jiajiri nikipangiwa?
Naomba kujuzwa zaidi au kutaka ufafanuzi zaidi juu ya chuo kizuri cha ualimu wa sanaa hapa Tanzania.
.
kwa upande wangu nimeandika Dodoma na Mkwawa hivo nataka hapa kimoja kiwe first priority, sasa kipi kiwe cha kwanza??
Kwa upande wa pili nimechagua Logistics and Transportation bachelor NIT, naomba kujuzwa ni nzuri? Pia naweza jiajiri nikipangiwa?