Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,938
- 7,928
Habari za muda huu watanzania wenzangu
Kati ya
1.kufuga ng'ombe wa maziwa na kulima mazao ya bustani pemben yake eg.Hoho,chinese,pilipili etc (location ni pwani au Dar)
2.Kufanya uwakala wa mobile money mpesa,tigopesa etc
3.kufungua duka la dawa baridi za binadamu
Kati ya
1.kufuga ng'ombe wa maziwa na kulima mazao ya bustani pemben yake eg.Hoho,chinese,pilipili etc (location ni pwani au Dar)
2.Kufanya uwakala wa mobile money mpesa,tigopesa etc
3.kufungua duka la dawa baridi za binadamu