Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Mimi ni ke...namaanisha nataka sifa (nzuri) za wote wawilI kwa mtu mmojaKama ni wa imani inayoruhusu na ni ME basi kila la kheri.
Mimi ni ke...namaanisha nataka sifa (nzuri) za wote wawilI kwa mtu mmojaKama ni wa imani inayoruhusu na ni ME basi kila la kheri.
UKISHAKUA mwanandoa basi hakikisha meza yamazungumzo namweza wako ipo, kukumbushana moja mbili tatu, hata kama utani ujumbe umefikaMmh, kuongea ni rahisi...kabisa ushtukie anakula pisi kali mahali.
That is true.UKISHAKUA mwanandoa basi hakikisha meza yamazungumzo namweza wako ipo, kukumbushana moja mbili tatu, hata kama utani ujumbe umefika
SHIDA YETu
hatutakagi kutambua huyu nilimuoa bikra ishachunwa, unakuta jitu limekaza shingo mimi hua sigongewi mkewangu haya mwanamke nae haaa wewe mumewangu hawezi chepuka anavokuja kujua ya natokea kama ya neema mbezi kwenu daresalaam
Ukiona umeoa mwanamke hana bikra au hata kama umeikuta basi kwa maisha ya sasa nakwahapa bongo
Win win _ situation is an inevitable here
😂😂😂Ngoja ninywe chai kwanza nitarudi kuchangia.