mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
hadi 2008 asilimia mbili ya wamarekani walikuwa ni wakulima lakni wanalima na kulisha sio tu marekani bali wanalisha hadi kutoa msaada nchi masikini.
ni kweli hatuwezi kujilinganisha na mabeberu maana tulipishana itikadi lkn wenda tukawa tunajifunza vitu kutoka mahala pengine.
kipi bora kwa mawazo yako.
kuwe na 20% ya wakulima wanaohudumua 80% ya wananchi waliobaki
au tuendelee na mfumo uliopo sasa tangu enzi za oldvai gorge.
nini maoni yako.
ni kweli hatuwezi kujilinganisha na mabeberu maana tulipishana itikadi lkn wenda tukawa tunajifunza vitu kutoka mahala pengine.
kipi bora kwa mawazo yako.
kuwe na 20% ya wakulima wanaohudumua 80% ya wananchi waliobaki
au tuendelee na mfumo uliopo sasa tangu enzi za oldvai gorge.
nini maoni yako.