konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,582
- Thread starter
- #21
Kwa nini mkuu, toa sababu. Hutaki utukufu wa kulindwa na mitutu ya bunduki na kutembea kwa msafara wa ving'ora?Bora kuwa mfanyabiashara mkubwa Kama Bakhresa na Mo.
Kwa nini mkuu, toa sababu. Hutaki utukufu wa kulindwa na mitutu ya bunduki na kutembea kwa msafara wa ving'ora?Bora kuwa mfanyabiashara mkubwa Kama Bakhresa na Mo.
Yale machozi ya watu masikini na wanyonge wanaoonewa chini ya utawala wako sio mazuri,Bora maisha ya kuishi huru na kwenda kokote utakapo bila kuchungwa chungwaKwa nini mkuu, toa sababu. Hutaki utukufu wa kulindwa na mitutu ya bunduki na kutembea kwa msafara wa ving'ora?
yeah ni kweli lakini matajiri huwa na mawazo sana, muda wote wanawaza biashara tu. jMkuu huoni wenye hela wanavyofaidi maisha?
Yeah, hii kweli ni point.Yale machozi ya watu masikini na wanyonge wanaoonewa chini ya utawala wako sio mazuri,Bora maisha ya kuishi huru na kwenda kokote utakapo bila kuchungwa chungwa
Trump ni bilionea, lakini mmm!Hivi hapa duniani kipi ni kitu cha fahari zaidi kati ya kuwa mwanasiasa na kufikia mafanikio ya kuwa waziri au rais kabisa, na kuwa mfanyabiashara bilionea kama alivyokuwa Mengi au Mohamed Dewji (Mo)?
Kuwa kiongozi wa kiasa kuna raha yake, kusafishiwa njia na ving'ora kwa pembeni ukiwa unapita, ulinzi wa kutosha wa TISS, polisi na jeshi, nchi nzima inakujua na full heshima, ukitoa amri kila mtu anatekeleza.
Ukiwa bilionea level ya akina Mo au Bill Gates nako kuna raha yake, full kula bata na kuenjoy life unavyotaka maana pesa sio tatizo kwako. Sasa huwa najiuliza hapa duniani kati ya hivi vitu viwili, kipi kinachokupa ufahari wa hali ya juu.
Kumbuka Mo na mihela yake alitekwa ila mwanasiasa kama waziri au rais sio rahisi kumteka. Pia kumbuka mwanasiasa kuna kustaafu baada ya muda na kuuacha huo utukufu wote wa madaraka, lakini mfanyabiashara haina kustaafu ni kuponda raha hadi kufa labda ufirisike. (Bill Gates hawezi kufirisika).
Kwa hiyo madaraka ni mazuri kuzidi utajiri? Trump pamoja na kuwa tajiri lakini aliona bora apate madaraka.Trump ni bilionea, lakini mmm!
Hata kama urais unaisha si lakini bado anapata ulinzi na mshahara anakula? Kwa mfano Kikwete ana shida gani sasa hivi?Utajiri hauishi
Ila urais unaisha
Hayo mambo ya Afrika na nchi wasiojitambua. Trump hakuwa na uwezo wowote wa kumuita mtu kwa nguvu na huyo mtu atii. Tena kwa Marekani rais anapewa za uso hadharani, kwamba siendi au sitaki kukutana na rais na anapewa heshima ya uamuzi wake. Sio Huku kwetu rais anakuwa mungu mtu.Utakuwa na hela sana mwisho utataka power tu, leo Trump anaweza kumuita Bill gate au Elon Musk muda wowote na jamaa akaenda ila ni ngumu kwa Bill Gate kumuona Trump muda wowote anaotaka.
Wewe unapenda kipiHivi hapa duniani kipi ni kitu cha fahari zaidi kati ya kuwa mwanasiasa na kufikia mafanikio ya kuwa waziri au rais kabisa, na kuwa mfanyabiashara bilionea kama alivyokuwa Mengi au Mohamed Dewji (Mo)?
Kuwa kiongozi wa kiasa kuna raha yake, kusafishiwa njia na ving'ora kwa pembeni ukiwa unapita, ulinzi wa kutosha wa TISS, polisi na jeshi, nchi nzima inakujua na full heshima, ukitoa amri kila mtu anatekeleza.
Ukiwa bilionea level ya akina Mo au Bill Gates nako kuna raha yake, full kula bata na kuenjoy life unavyotaka maana pesa sio tatizo kwako. Sasa huwa najiuliza hapa duniani kati ya hivi vitu viwili, kipi kinachokupa ufahari wa hali ya juu.
Kumbuka Mo na mihela yake alitekwa ila mwanasiasa kama waziri au rais sio rahisi kumteka. Pia kumbuka mwanasiasa kuna kustaafu baada ya muda na kuuacha huo utukufu wote wa madaraka, lakini mfanyabiashara haina kustaafu ni kuponda raha hadi kufa labda ufirisike. (Bill Gates hawezi kufirisika).
Napenda urais.Wewe unapenda kipi