Kwa jinsi hali ilivyo,ni bora ukajiimarisha kwenye biashara unayoifanya kwa uvumilivu na nidhamu.
Usikate tamaa na kujutia elimu yako.Maisha yamebadilika sana kipindi hiki na hakuna namna nyingine.
Usisahahu kutafuta kitambulisho cha mjasiria mali ili uwe salama zaidi.
Pamoja na kidogo unachopata weka akiba na bana matumizi.
Utanikumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.