Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
Wakuu habarini na poleni na mihangaiko ya hapa na pale...
Wakuu nilikuwa nakijimtaji cha laki 5 hapa , na mwaka huu nataka kufuga kuku wa kienyeji, na baadaye nije nichanganye na chotara au wengine huita wamalawi....
sasa Wakuu lipi ni wazo bora kati ya kununua incubator ya mayai 96 nikatotoresha kuku wa kienyeji nakuanza na kuku wakiwa wadogo (vifaranga) au niingie kijijini nitafute kuku 40 nianze kuwafuga wakiwa tayari wakubwa?
Wenye uzoefu kidogo na wenye mawazo naomba mnisaidie katika hili Wakuu, natanguliza shukrani zangu.
Wakuu nilikuwa nakijimtaji cha laki 5 hapa , na mwaka huu nataka kufuga kuku wa kienyeji, na baadaye nije nichanganye na chotara au wengine huita wamalawi....
sasa Wakuu lipi ni wazo bora kati ya kununua incubator ya mayai 96 nikatotoresha kuku wa kienyeji nakuanza na kuku wakiwa wadogo (vifaranga) au niingie kijijini nitafute kuku 40 nianze kuwafuga wakiwa tayari wakubwa?
Wenye uzoefu kidogo na wenye mawazo naomba mnisaidie katika hili Wakuu, natanguliza shukrani zangu.