Anithape
Senior Member
- Nov 14, 2018
- 131
- 136
Ona huyuuu!!!!Nunua trekta..na tela lake na jembe baasi
Ona huyuuu!!!!Nunua trekta..na tela lake na jembe baasi
Mkuu haya mambo sio ya kukurupuka ,you must take time to decideLete mrejesho umeamua kipi
Usiogope changamoto lkn kuzikabili ndo mafanikio yenyeweMkuu haya mambo sio ya kukurupuka ,you must take time to decide
Huon kuna utofaut wa zaid ya miaka 10 hapo mkuuAnauza DCM kwa million 30 kwa kigezo kipi anakuwa ameisuka sana body au yeye anafunga engine ipi mpaka auze bei kubwa.
Malawi watu walizifata na bei ilikuwa inacheza kwenye million 6,7,8 miaka ya 2009.
Hii sijawahi iwaza.fursa ni nyingi na zote unatoka.kikubwa uifumanie moja na utulie nayo na uijulie. Ni kama kuipata mke safi mana wanawake ni wengi na wote wana uzuri wao.Nenda Kahama kafungue Plant ya dhahabu ambayo itagharimu 30millions tu na baada ya miezi sita kama hujaanza kuzungumza kifaransa utaniambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mshahar dereva na kondakta wake wanakuwa washajilipa..si ndio?Zinalaza 80-100k
changamoto yake ni nini kamandaNilipiga hii kazi mwaka 2018 karibia iniue kwa pressure,,sio kazi rahisi kihivo. Niliingia ludewa huko kisha nikapeleka nguzo mtwango kwa mateso mengi,,nilirudi home nimechakaa kama nimetoka kwenye vita Vietnam huko. xav bero,
Sent using Jamii Forums mobile app
zinalaza 250-300Hii mshahar dereva na kondakta wake wanakuwa washajilipa..si ndio?
Nenda Africarriers.wahindi wa wapi hao mkuu nami nimekuwa interested na hizo buying options zao
Mkuu ngozo moja ya umeme nitakua nimenunua bei ganiNashangaa sana watu ambao wana mtaji wa milion thelathin halaf wanataka wawekeze wapate 50k kwa siku..daaah hatari sana. Ngoja nikufumdishe biashara ndugu japo sikulazimishi.. Uza nguxo za umeme,,ile miti ambayo haijawa kua treated bado,kuna soko la uhakika hela mkononi.. Mtaji wake wa kwanza hauzid milion tatu,na faida yake sio chini ya milion na laki nane kwa kila trip,kwa hyo ni ushapu wako ukikata miti ya kujaa semi tatu kwa mpigo it means utapata milion na laki nane mara tatu...ambayo 5,400,000. Ukifanya mara mbili kwa mwez ukatoa gar tatu tatu unakula milion 10.8. Hakuna TRA,hakuna kununua spea wala hakuna kusikia gar imeandikia huku..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mzee kasri alikua na DCM nyingi gongo la mboto pamoja na zingine ziliandikwa J3 Karan,sijui nini kilimkuta,ambaye anaongoza kwa kuwa na gari nyingi sahizi ni Madilu nazo zipo nyingi sana kwa hapa dar
Nilijua biashara imemkataa huyu wa kuitwa mzee kasri, alikua na DCM nyingi sana kwa hapa gongo la mbotoalibadilisha biashara, ila muda c mrefu atarudi.
Yule bwana DCM anakuuzia hadi 30M na unaondoka moyo mweupe.
Mimi nadhani tatizo ni tabia ya watu kuigana kwenye utendaji wa kazi. Ukiwa na daladala na ukaendesha biashara yake akama ilivyo desturi ya wenye daladala wote ni lazima utalia. Wengi utakuta wanampa dereva na konda halafu wanamwambia nataka kiasi fulani kwa siku... njia hiyo ni lazima itakuumiza na gari litakongonyoroka mapema sana. Njia nzuri ni mtu kubuni njia ya utendaji kazi tofauti. Ni bora umiliki gari moja ambayo utakuwa unaendesha au kukusanya fedha mwenyewe kuliko kuwapa watu wafanye wanavyotaka.Daladala ni sawa na jini mufilisi usipokuwa makini Ina walaji wengi kuanzia nguo jeupe,yono,breakdown,mafundi,sumatra,kwa uchache ukiona Simu ya konda sawa na simu ya mtoa roho.
taja njia nzuri kwa mtu ambaye ni mwajiriwa au ana kazi nyingine ukitoa hyo ya daladalaMimi nadhani tatizo ni tabia ya watu kuigana kwenye utendaji wa kazi. Ukiwa na daladala na ukaendesha biashara yake akama ilivyo desturi ya wenye daladala wote ni lazima utalia. Wengi utakuta wanampa dereva na konda halafu wanamwambia nataka kiasi fulani kwa siku... njia hiyo ni lazima itakuumiza na gari litakongonyoroka mapema sana. Njia nzuri ni mtu kubuni njia ya utendaji kazi tofauti. Ni bora umiliki gari moja ambayo utakuwa unaendesha au kukusanya fedha mwenyewe kuliko kuwapa watu wafanye wanavyotaka.
Unaweza kuwa na ndugu/rafiki mwaminifu labda? Na usiniambie hakuna ndugu/rafiki mwaminifu kwani mimi ninao (japo vile vile ninao wengine walaghai sana)! In short ni kuwa sisi waafrika wengi ni wezi. Hivyo biashara kama gari ni ngumu sana (lakini inawezekana) kupata mtu mwaminifu.taja njia nzuri kwa mtu ambaye ni mwajiriwa au ana kazi nyingine ukitoa hyo ya daladala
Futa habari za rushwa kwenye biashara. Acha nature ifanye kazi yake, amini tu kuwa Hiace hazikutakiwa. So, usifikirie hiace kwa MwanzaNdo hapo kuongea nao vizuri mkuu ama hunielewi bado. Ama sio ni mkenya nayeongea naye