Kipi bora, Kufundisha chuo vs Kufanya kazi ya taaluma yako?

vurumai

Senior Member
Feb 9, 2014
178
36
Habari Wadau.

Naomba kuwasilisha mada. Kipi bora kati ya kufundisha chuo taaluma uliyosomea au kwenda kufanya kazi ya hio taaluma yako ?

Karibuni kwa michango.
 
Kwangu bora kufundisha chuo.. Unakuwa free kufanya kazi zako binafsi kama umefungua ofisi yako na pia kama unabiashara yako pia unakuwa na muda wa kuiendesha au miradi kadhaa.
 
ungeweka kwanza taaluma yako nn ? Fanya kazi ya taaluma yako .. chuo mpaka uje uwe senior ni issue af utakuwa una deal na watoto wa chuo na mawazo yako yatakuwa hayo hayo .. mtaani au ofisini unakutana na wadau wakubwa wakubwa ambao ndo channel zenyewe za maisha
 
Mfano mdogo tu ni huu...MTU mwenye degree ya uhasibu akienda kufanya Kazi ya uhasibu bila kua na CPA yeye uishia kulipwa 450-700. Ila MTU huyo huyo akiajiliwa kufundizha kama teaching assistant (T.A) utalipwa 1.5 kwa vyuo vya serikali wakati huo huo unamuda wakutosha kufanya mambo yako
 
Mfano mdogo tu ni huu...MTU mwenye degree ya uhasibu akienda kufanya Kazi ya uhasibu bila kua na CPA yeye uishia kulipwa 450-700. Ila MTU huyo huyo akiajiliwa kufundizha kama teaching assistant (T.A) utalipwa 1.5 kwa vyuo vya serikali wakati huo huo unamuda wakutosha kufanya mambo yako

Umeona eeh uhadhiri unalipa kama Tutorial unatoka na 1.5m je ukifika senior na bado una chance ya kufanya research na consulting zako binafsi.. Kutoa machapisho mbalimbali km uko mambo ya business kuandaa business plan za watu mbalimbali n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom