Mfano mdogo tu ni huu...MTU mwenye degree ya uhasibu akienda kufanya Kazi ya uhasibu bila kua na CPA yeye uishia kulipwa 450-700. Ila MTU huyo huyo akiajiliwa kufundizha kama teaching assistant (T.A) utalipwa 1.5 kwa vyuo vya serikali wakati huo huo unamuda wakutosha kufanya mambo yako