chumanile
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 296
- 327
Maisha ni mafanikio, haijarishi umeyapata wapi na njia ipi kubwa mambo yaende kwa mtindo unao utaka.
Kira mtu ana namna ya kufikia malengo yake. Binafsi nimewai kuajiriwa, pia nimejiajiri.
Changamoto ni nyingi katika nyanja na lazma ukabiriane nazo.
CHANGAMOTO ZA KUAJIRIWA ni nyingi mno kubwa kutii na kueheshi mamlaka ya muajilia wako.
CHANGAMOTO ZA KUJIAJILI ndo nyingi mno Mara ² ya KUAJIRIWA na usipo kua makini utafeli plani zako pia.
Tuambie kipi bora kwa faida ya wengine ambao nawao wanatamani kuajiriwa au KUJIAJILI ili wapate kujiongoza na waende katika sehemu sahihi.
Kira mtu ana namna ya kufikia malengo yake. Binafsi nimewai kuajiriwa, pia nimejiajiri.
Changamoto ni nyingi katika nyanja na lazma ukabiriane nazo.
CHANGAMOTO ZA KUAJIRIWA ni nyingi mno kubwa kutii na kueheshi mamlaka ya muajilia wako.
CHANGAMOTO ZA KUJIAJILI ndo nyingi mno Mara ² ya KUAJIRIWA na usipo kua makini utafeli plani zako pia.
Tuambie kipi bora kwa faida ya wengine ambao nawao wanatamani kuajiriwa au KUJIAJILI ili wapate kujiongoza na waende katika sehemu sahihi.