linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
- Thread starter
- #41
Una hekima sana mkuu kribu snaa siku nyingineNi vyema simu zikawa ziko silent then mka concentrate katika mambo yenu
Mahusiano yanapo kuwa mapya wahusika mnapaswa kuwa makini Sana kuficha tabia ambazo ni hasi hii itasaidia kuweza kutompoteza 1 wenu katika mahusiano hii inapaswa kuanzia kwenye maongezi mpaka vitendo vyenu
unapo act differently Ni rahisi 1 wenu kumuachia maswali mwenzake ataanza kujiuliza mmh hivi fulani ananifaa kweli mbona anatabia hizi na zile ... Ukikutana na mtu faragha Kama una mpenda kweli na unataka aendelee kubaki ktk Maisha yako make sure una mfanyia mambo ambayo yatamfanya atamani Tena na Tena kuonana na wewe