Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
.
Chapeni Kazi.
Hawawezi kumfanya kitu. Infact watampongeza hawa watu. Wao wanaweza kuitafsiri hii katuni kwamba Coronya ni mpiga sound tu wala hawezi kung'ata na mzeee Jiwe hatishwi na kelele za debe tupu.Wasimfanye kama Idriss
Corona si tishio Tanzania huu ndiyo mtazamo wa rais wetu.
Tena anajinasibu kuwa yeye havai barakoa
Na kuhamasisha watu wasivae barakoa dahTena anajinasibu kuwa yeye havai barakoa
Tena anajinasibu kuwa yeye havai barakoa
Mimi naona kipanya anamsifia mkuu kwamba kuna jitu la kutisha karibu na mkuu lakini mkuu hatishiki na jitu hilo na badala yake mkuu amerilux kwa kusafisha sikio. Au wewe umemwelewa vp kipanya.
Katika hali ya kawaida siyo sahihi! Wewe unaweza kukaa karibu na jitu linalotisha halafu urelax?Kwa mfano unaweza kukaa karibu na mbwa mwenye kichaa halafu urelax?Mimi naona kipanya anamsifia mkuu kwamba kuna jitu la kutisha karibu na mkuu lakini mkuu hatishiki na jitu hilo na badala yake mkuu amerilux kwa kusafisha sikio. Au wewe umemwelewa vp kipanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimjulia mbinu zake utarilux. Kumbuka kwa majibu ya hivi karibuni ya WHO ni kwamba covid19 siyo uginjwa wa kutoweka kwa haraka kama tulivyotegemea. Utaendelea kuuogopa hadi lini?Katika hali ya kawaida siyo sahihi! Wewe unaweza kukaa karibu na jitu linalotisha halafu urelax?Kwa mfano unaweza kukaa karibu na mbwa mwenye kichaa halafu urelax?
Kitendo cha Covid-19 kuwa ugonjwa wa kutokutoweka hivi karibuni haithibitishi kuwa siyo ugonjwa unaotisha/unaotishia maisha.Kwa hiyo kwa sababu hauondoki hivi karibuni basi ni ugonjwa legelege na kwa hiyo tuupuuze?.Ni kweli kama kuna jitu linalotisha na ukawa na mbinu za kupambana nalo unaweza kurelax, lakini mheshimiwa hajaonyesha wala hana mbinu za kupambana na hilo jitu linalotisha, yaani hatua zinazochukuliwa ni weak kuliko za mataifa mengine yote. Kwa kifupi anawachekea Nyani shambani!Ukimjulia mbinu zake utarilux. Kumbuka kwa majibu ya hivi karibuni ya WHO ni kwamba covid19 siyo uginjwa wa kutoweka kwa haraka kama tulivyotegemea. Utaendelea kuuogopa hadi lini?
Sent using Jamii Forums mobile app