Yuko sahihi...Uzalendo siyo kushangilia makosa bhana kwasababu yamefanywa na wazawaHe is wrong...kipanya nae anakosa uzalendo sana
Uzalendo n nn?He is wrong...kipanya nae anakosa uzalendo sana
Uko sahihi,ila tusimlaumu sana,hawa ni wale wengi ambao wameathirika kisaikololjia kwa kuto kutambua kazi inayofanyika kwenye awamu hii kuwa ni tofauti na awamu zilizopita...He is wrong...kipanya nae anakosa uzalendo sana
Sawa Babra Hassan
Safari zetu nyingi ni internal flights na ni za muda mfupi. Kukarimiwa kitafunwa ni kawaida, chakula ni kwa safari za muda mrefu.
Mgawie kama unao wa ziadaHe is wrong...kipanya nae anakosa uzalendo sana
uxalendo ule "mavi" kwa vile ni ya watanzania wenzako?He is wrong...kipanya nae anakosa uzalendo sana
Tena airlines nyingine siku hizi (Europe, kutoka nchi moja kwenda nyingine ndani ya Europe) unapewa juice kwenye ka-glass kadogo kama dawa ya kikohozi. Soda, bia, vitafunwa vyote wanauza. Na hapa sizungumzii hizi low cost airlines!Hapa kachemsha,hata kama yupo against na serikali na mashirika yake but hapa kachemsha. Ni irrelevant kabisa. Hata ukipanda Swiss air kutoka Zurich to Paris utaulizwa kama huyo aliepanda Air Tanzania.
Kuna ishu za msingi kuzungumzia lakini hili kachemka vibaya sana. Biashara sio kuigana , kila mtu na mipango yake na ubunifu wake, unataka nigawe kuku kwani mtaji wa biashara ulinipa wewe? Msijifanye mnajua kila kitu.