nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
Haaaa haaaa haaaa hatari sn,
Hahahahah so funny!
Hii ni baada ya serikali kusema haitonunua tena korosho, imeona mziki wa korosho hauchezeki
Tunasubiri hela ya maondoleo ya dhambiShukrani.
Na je kile kiwanda cha kubangua korosho kimeshajengwa kama ilivyoagizwa?