Kiuhalisia na ukirejea hotuba za m/ kiti wa CCM taifa utagundua watakaochaguliwa wengi Ni kutokana na Mambo ya nje tu na si sifa za kiongozi,uadilifu, uzalendo n.k
Mbona umemlisha maneno Kipanya.!
Pia itategemea ameamkaje siku hiyoKiuhalisia na ukirejea hotuba za m/ kiti wa CCM taifa utagundua watakaochaguliwa wengi Ni kutokana na Mambo ya nje tu na si sifa za kiongozi,uadilifu, uzalendo n.k
Bali undugu, urafiki, ukanda, kukomoana, ukabila n.k