Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Yule bingwa wa michoro ya katuni maarufu hapa nchini Kipanya amekuja na hali halisi ya viongozi wetu mara itokeapo kuna mabadiliko ya kiuongozi.
Hakika kufa ni kufaana, wahenga waliyasema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika kufa ni kufaana, wahenga waliyasema.
Sent using Jamii Forums mobile app