Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,478
- 34,747
Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya..amesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akili nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo ...na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi, huku wakimtisha .....
Amesema ni akli ndogo Tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaeleweka...kipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfast...katkat ya wiki hii. alippkua akikelezea issue ya makinikia
Amesema ni akli ndogo Tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaeleweka...kipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfast...katkat ya wiki hii. alippkua akikelezea issue ya makinikia