Kipanya: Msitumie akili nyingi kutafsiri katuni zangu

Slowly

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
10,478
34,747
Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya..amesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akili nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo ...na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi, huku wakimtisha .....

Amesema ni akli ndogo Tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaeleweka...kipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfast...katkat ya wiki hii. alippkua akikelezea issue ya makinikia
 
FB_IMG_1497692395514.jpg


Moja ya katuni za kipanya zilizosumbua akli za watu kutafsr
 
Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya..amesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akli nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo ...na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi, huku wakimtisha .....amesema ni akli ndogo Tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaeleweka...kipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfast...katkat ya wiki hii. alippkua akikelezea issue ya makinikia
Weka iyo link au picha ya katuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom