Kama wote tunavaa suruali cku hizi, si wanaume na si wanawake woote ni wavaa suruali.Sasa utjuaje kuwa huyu ni dune yule ni jike!!!!!!?.Usimutushutumu mchonga kinyago, chambua kinyago kilichopo! usivunje kioo kwa kukuonesha uso wako uliokunjana, sawazisha uso wako.