Kipanya leo na kibonzo cha mgombea aliyefungiwa kufanya kampeni kwa siku saba

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,268
1602480396895.png
 
Mmmh huyu kipanya ngoja tuone kama. Yule mkuu wa mapolisk hatatoa tamko na kumataka hule msemaji wa sirikali kumfungia huyu panaya kuchora picha zenye ziko na maudhui ya nayokari iana Ukweli
 
Mwana katuni maarufu hapa nchini maarufu kama Kipanya leo hii kaja na majibu kwa polisi wetu.

Ebu tazama huu ujumbe
Screenshot_20201012-101541.jpg
 
Huyu Kipanya na yeye bhana wenzake wako lab wanadesign ma Bugatti chiron yeye yuko kupiga umbea na vikatuni, bure kabisa unapoteza talanta mtu mzima, ...

View attachment 1597466
Mwambie ujumbe huo JPM daktari wa kemia,wenzake wako lab wanafanya tafiti na majaribio yeye yuko majukwaani na siasa!
Waambie hayo maprofesa,madaktari kwa taaluma ambao awamu hii wamekimbilia kwenye siasa!
Kumwambia hayo Kipanya aliyejipatia umaarufu kwa sanaa ya uchoraji ni dalili ya kukosa hoja!
 
Kwanini unamshauri adesign magari na sio kitu kingine mfano chupi za wanawake wenye makalio makubwa kwa nakadhalika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom