Kipanya leo asema hivi

Ni kweli ni ngumu kumsoma, mimi nimeona tumezunguuka ili kwenda kupiga kura ya ‘ndiyo’ Dodoma alafu tunazunguuka kufanya kampeni wakati mshindi anajulikana.
MKUU unamaanisha hakuna haja ya kupiga kampeni!?, hakuna ya uchaguzi kuwepo!?, Uncle Pombe Magu apewe tu nchi pasipo uchaguzi kufanyika maana umesema mshindi anajulikana, Oops unaweza kueleza kidogo dhamira yako please.
 
Ujinga wa hali ya juu.......kimsingi ni rushwa tu alikua anawapa wajumbe hakuna kingine.....
Muungano yy mgombea binafsi maana yake hakukua na sababu ya kuwapotezea watu muda....Zanzibar ni nchi wangeachiwa wazanzibari wachague mgombea wao hukohuko zenji mbwembwe za nn?
Mkuu mkutano wa uteuzi wa mgombea ndani ya chama si ni lazima according to the Ccm constitution. Asa mbona unasema kawapotezea muda!?. Mkuu vitu vingine havihitaji hata bachelor ndo uvijue mkuu, that process is necessary and hauwezi kuwambia wajumbe kuwa wasifanye kikao mkuu. Hiyo ndo katiba ya ccm inasema hivo Jamani.
 
Zaidi ya kura 200 za Mwinyi ni za wajumbe wa Bara. Wale 19 (Nahonda) na za yule mwingine ndio za Wazanzibar
Inakera sn hii ...........ndio maana wajumbe toka zenji wamelia sn ila hawana Cha kufanya maana posho za Tanganyika ni tamu zaidi........

Ndio maana kiuhalisia muungano unafaida kwa viongozi kwa ajili ya vyeo na posho tamutamu
 
Mkuu mkutano wa uteuzi wa mgombea ndani ya chama si ni lazima according to the Ccm constitution. Asa mbona unasema kawapotezea muda!?. Mkuu vitu vingine havihitaji hata bachelor ndo uvijue mkuu, that process is necessary and hauwezi kuwambia wajumbe kuwa wasifanye kikao mkuu. Hiyo ndo katiba ya ccm inasema hivo Jamani.
Hakukua na haja ya kupoteza muda wkt mgombea ni yy pekee yake wengine mmewakataza na waliojaribu mmewachukulia hatua ikiweko kuwafukuza chamani.......

Mngewachia wazanzibari wachague wenyewe mgombea wao huko huko zenji sio kuja kuwachagulia huku bara sio haki mkuu ....ndio maana wajumbe wa zenji wametoka na huzuni huku wengi wakilia lkn hawana namna maana posho pia ni tamu mkuu....
 
Hakukua na haja ya kupoteza muda wkt mgombea ni yy pekee yake wengine mmewakataza na waliojaribu mmewachukulia hatua ikiweko kuwafukuza chamani.......

Mngewachia wazanzibari wachague wenyewe mgombea wao huko huko zenji sio kuja kuwachagulia huku bara sio haki mkuu ....ndio maana wajumbe wa zenji wametoka na huzuni huku wengi wakilia lkn hawana namna maana posho pia ni tamu mkuu....
Asa mkuu nani aliyefukuzwa!?,

Kwahiyo mkuu miaka mingine wanzanzibar huwa wanateua mgombea wao wenyewe wakiwa Zanzibar!?, Meaning that this time utaratibu umebadilika wamekuja kuchagulia huku bara!?.

Naomba jibu katika hili mkuu.
 
Asa mkuu nani aliyefukuzwa!?,

Kwahiyo mkuu miaka mingine wanzanzibar huwa wanateua mgombea wao wenyewe wakiwa Zanzibar!?, Meaning that this time utaratibu umebadilika wamekuja kuchagulia huku bara!?.

Naomba jibu katika hili mkuu.
Achana na historia mkuu kumbukab Hiki ni kilio cha muda mrefu cha wazanzibari....... Sio haki kabisa kuwaburuza kwa kiasi hicho...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom