Kipanya:Kila mtu siku hizi ni Mchambuzi,Mwandishi Kwenye Mitandao Ya Kijamii.

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,062
13529163_1133936170004173_8451117199905757147_n.jpg
 
Kama waandishi wenyewe wameng'ang'ania vibahasha unadhani watu watafanyaje?
Zama zimebadilika, na ndio maana na yeye anatangaza redio binafsi zama zisingebadilika sijui kama angeipata bahati hiyo kule TBCCM.
 
Na kila Tatizo la kutokutii sheria utasikia Tuelimishwe,tuhamasishwe, tupewe elimu ya kutosha,tupewe muda n.k Mi tabia za Kitanzania nazipe da sana kwa kuwa zinakuepusha na Misungo ya mawazo ya kijinga kiiinga.
 
Back
Top Bottom