Kipanya kapiga Ikulu, yaani mwanao afe wa jirani apone

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
FB_IMG_1553190681625.jpg
 
Kipanya ni akili kubwa, mchoro mmoja unatoa habari iliyokamilika.
Uzuri wa katuni kila mtu anaweza kutafsiri anavyoona, kwa hiyo huwezi kudhibitisha unachodhani mchoraji alimaanisha.
Big up Kipanya, unatumia kipaji chako kueleza ukweli
 
"Katumwa na mabeberu,Kipanya sio mzalendo"

Jamaa akijinadigi kuwa ni mzalendo huwa namshangaa sana kwa kukosa soni!!
 

Similar Discussions

53 Reactions
Reply
Back
Top Bottom