Baba la baba, usioneshe ukuadi wa jinsi hiyo basi. Kha!! Huwa unawaota Ufipani hata mchana??Computer za ufipa itakuwa. Ukibisha basi usiulize tena sababu una jibu lako.
😂😂😂Mwana katuni maarufu amekuja na kitendawili kipya kwangu binafsi nimetoka kapa kujua nini anamaanisha.
Mwenye ujuzi na habari picha tafadhali atusaidie.
View attachment 1241004